forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
273 B
Markdown
12 lines
273 B
Markdown
|
# Akafungua
|
||
|
|
||
|
Aliyefungua ni Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# giza nene lilikuwa chini ya miguu yake
|
||
|
|
||
|
Ingawa Yahwe sio binadamu, mwandishi anampa sifa za binadamu. "giza nene lilikuwa chini yake"
|
||
|
|
||
|
# mabawa ya upepo
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia upepo kana kwamba una mabawa kama malaika.
|