forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
429 B
Markdown
20 lines
429 B
Markdown
# anachunguza
|
|
|
|
"kuangalia kwa umakini"
|
|
|
|
# wanaofanya fujo
|
|
|
|
"kuumiza wengine"
|
|
|
|
# Anawanyeshea moto wa makaa na kibiriti juu ya waovu; upepo unaochoma utakua sehemu yao kutoka kwenye kikombe chake!
|
|
|
|
Adhabu ya Mungu inaelezwa kana kwamba yalikuwa makaa ya moto na kibiriti kutoka kwenye volkano. "Anawaadhibu waovu; hakutakuwa na nafuu kwao!"
|
|
|
|
# kibiriti
|
|
|
|
Hili ni jina lingine la salfa
|
|
|
|
# wataona uso wake
|
|
|
|
"kuwa kwenye uwepo wake"
|