sw_tn/psa/011/005.md

429 B

anachunguza

"kuangalia kwa umakini"

wanaofanya fujo

"kuumiza wengine"

Anawanyeshea moto wa makaa na kibiriti juu ya waovu; upepo unaochoma utakua sehemu yao kutoka kwenye kikombe chake!

Adhabu ya Mungu inaelezwa kana kwamba yalikuwa makaa ya moto na kibiriti kutoka kwenye volkano. "Anawaadhibu waovu; hakutakuwa na nafuu kwao!"

kibiriti

Hili ni jina lingine la salfa

wataona uso wake

"kuwa kwenye uwepo wake"