forked from WA-Catalog/sw_tn
686 B
686 B
wote wanaokukimbilia wafurahi
Mungu anazungumziwa kana kwamba ni kambi, sehemu ambayo watu wanaweza kulindwa. "Wote wanaokuja kwako kwa ulinzi wafurahi"
wote wanaokukimbilia wafurahi ... wapige kelele za shangwe kwa sababu unawalinda
Vishazi hivi viwili vina wazo la kufanana.
wanaokukimbilia
Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia yeye. "kwenda kwako kwa ulinzi"
wale wanaolipenda jina lako
Jina la Mungu linamwakilisha yeye. "wale wanaokupenda"
utawazunguka na fadhila kama ngao
Fadhila za Mungu zinazungumziwa kama ngao. "utawaonesha fadhila na kuwalinda kama askari wanavyojilina kwa ngao" au "kwa sababu u mkarimu kwao, utawalinda"