forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
686 B
Markdown
20 lines
686 B
Markdown
|
# wote wanaokukimbilia wafurahi
|
||
|
|
||
|
Mungu anazungumziwa kana kwamba ni kambi, sehemu ambayo watu wanaweza kulindwa. "Wote wanaokuja kwako kwa ulinzi wafurahi"
|
||
|
|
||
|
# wote wanaokukimbilia wafurahi ... wapige kelele za shangwe kwa sababu unawalinda
|
||
|
|
||
|
Vishazi hivi viwili vina wazo la kufanana.
|
||
|
|
||
|
# wanaokukimbilia
|
||
|
|
||
|
Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia yeye. "kwenda kwako kwa ulinzi"
|
||
|
|
||
|
# wale wanaolipenda jina lako
|
||
|
|
||
|
Jina la Mungu linamwakilisha yeye. "wale wanaokupenda"
|
||
|
|
||
|
# utawazunguka na fadhila kama ngao
|
||
|
|
||
|
Fadhila za Mungu zinazungumziwa kama ngao. "utawaonesha fadhila na kuwalinda kama askari wanavyojilina kwa ngao" au "kwa sababu u mkarimu kwao, utawalinda"
|