forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
566 B
Markdown
20 lines
566 B
Markdown
# Yeye ... Bwana
|
|
|
|
Maneno haya yanamaanisha Yahwe. Yahwe mara nyingi huitwa "Bwana" lakini maneno kwa ajili ya "Yahwe" na "Bwana" ni tofauti.
|
|
|
|
# aketiye mbinguni
|
|
|
|
Hapa kuketi inamaanisha kutawala. Kile anachokalia kinaweza kuelezwa vizuri. "anatawala mbinguni" au "anaketi katika kiti chake cha enzi mbinguni"
|
|
|
|
# Bwana anawadhihaki
|
|
|
|
"Bwana anawadhihaki hao watu." Kwa nini anawadhihaki inaweza kuelezwa vizuri. "Bwana anawadhihaki kwa mipango yao yakipumbavu"
|
|
|
|
# na kuwatisha katika gadhabu yake
|
|
|
|
"gadhabu" inamaanisha kuwa na hasira kali.
|
|
|
|
# kuwatisha
|
|
|
|
"kuwaogofya"
|