sw_tn/psa/002/004.md

566 B

Yeye ... Bwana

Maneno haya yanamaanisha Yahwe. Yahwe mara nyingi huitwa "Bwana" lakini maneno kwa ajili ya "Yahwe" na "Bwana" ni tofauti.

aketiye mbinguni

Hapa kuketi inamaanisha kutawala. Kile anachokalia kinaweza kuelezwa vizuri. "anatawala mbinguni" au "anaketi katika kiti chake cha enzi mbinguni"

Bwana anawadhihaki

"Bwana anawadhihaki hao watu." Kwa nini anawadhihaki inaweza kuelezwa vizuri. "Bwana anawadhihaki kwa mipango yao yakipumbavu"

na kuwatisha katika gadhabu yake

"gadhabu" inamaanisha kuwa na hasira kali.

kuwatisha

"kuwaogofya"