sw_tn/pro/31/26.md

345 B

hufumbua kinywa chake kwa ahekima

"hunena kwa busara"

sheria ya ukarimu ipo kwenye ulimi wake

"huwafundisha watu kuwa na ukarimu"

huangalia njia za nyumba yake

"huhakikisha kuwa familia yake yote inaishi katika njia ambayo inampendeza Mungu"

hawezi kula mkate wa uvivu

"siyo mvivu "

uvivu

kutofanya kazi yoyote na kuwa mzembe