sw_tn/pro/30/15.md

1.0 KiB

Mruba anao binti wawili

Huu ni mfano wa kuonesha uroho, kutaka vitu zadi kila mara "Uroho anao binti wawili"

mruba

ni aina ya mnyoo amba huganda kwenye ngozi na kunyonya damu

Wanalia "Nipe na nipe "

" kwa pamoja wote wanaitwa nipe mimi"

kuna vitu vitatu ambavyo havitosheki, vinne ambavyo havisemi "Yatosha"

"Kuna vitu vinne ambavyo havitosheki, ambavyo havisemi, "Yatosha"

ambavyo havitosheki

"daima vinataka zaidi"

ardhi ambayo haitosheki kwa maji

ardhi ambayo haizalishi tena chakula kwa sababu hakuna mvua imeongelewa kana kwamba mtu ambaye hana maji ya kutosha kwa kunywa

beza utiifu kwa mama

"humfikiria mama yake kuwa hana maana na hawezi hata kumtii"

macho yake ...tai

Mwandishi anatoa taswira mbili kwa namna inavyotokea kwa watu wanaofariki wakiwa mbali na makazi ya watu

macho yake yatadonolewa na kunguru wa bondeni

" kunguru wa bondeni watayadonoa macho yake"

kunguru

ndege weusi ambao hula mimea na mizoga ya wanyama

ataliwa na tai

"tai watamla"

tai

moja ya ndege wakubwa ambao hula mizoga ya wanyama