sw_tn/pro/30/13.md

377 B

macho yao yameinuka...kope zao zimeinuka juu

watu ambao hudhani kuwa wao ni bora kuliko watu wengine.

kuna kizazi ambacho meno yao ni upanga, na taya zao ni visu, hivyo wanaweza kuwararua maskini ...na wahitaji

Watu wa kizazi ambao huongea vitu vibaya sana ,wanaongelewa mithili ya wanyama mwitu...wanawala maskini na wahitaji

taya

mifupa ya usoni ambapo meno huota