forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
377 B
Markdown
12 lines
377 B
Markdown
|
# macho yao yameinuka...kope zao zimeinuka juu
|
||
|
|
||
|
watu ambao hudhani kuwa wao ni bora kuliko watu wengine.
|
||
|
|
||
|
# kuna kizazi ambacho meno yao ni upanga, na taya zao ni visu, hivyo wanaweza kuwararua maskini ...na wahitaji
|
||
|
|
||
|
Watu wa kizazi ambao huongea vitu vibaya sana ,wanaongelewa mithili ya wanyama mwitu...wanawala maskini na wahitaji
|
||
|
|
||
|
# taya
|
||
|
|
||
|
mifupa ya usoni ambapo meno huota
|