forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
544 B
Markdown
32 lines
544 B
Markdown
# Ni nani ...chini?Ni nani...mikono?...Ni nani...kanzu? Ni nani....dunia?
|
|
|
|
"Hakuna mtu..."
|
|
|
|
# mbinguni
|
|
|
|
ambako Mungu anaishi
|
|
|
|
# kusanya upepo kwenye uwazi wa mikono yake
|
|
|
|
"kamata upepo katika mikono yake"
|
|
|
|
# uwazi wa mkono yake
|
|
|
|
"mkono yake"
|
|
|
|
# kusanya
|
|
|
|
rundika pamoja vitu vidogo vilivyotawanyika
|
|
|
|
# imarisha miisho ya dunia yote
|
|
|
|
"ameweka mipaka ya ukomo wa dunia"
|
|
|
|
# Jina lake ni nani, na jina la mwanae ni nani?
|
|
|
|
"niambie jina lake na jina la mwanae kama unawajua"
|
|
|
|
# Hakika unajua!
|
|
|
|
"Sidhani kama unamjua mtu anayeweza kufanya mambo hayo"
|