sw_tn/pro/30/04.md

544 B

Ni nani ...chini?Ni nani...mikono?...Ni nani...kanzu? Ni nani....dunia?

"Hakuna mtu..."

mbinguni

ambako Mungu anaishi

kusanya upepo kwenye uwazi wa mikono yake

"kamata upepo katika mikono yake"

uwazi wa mkono yake

"mkono yake"

kusanya

rundika pamoja vitu vidogo vilivyotawanyika

imarisha miisho ya dunia yote

"ameweka mipaka ya ukomo wa dunia"

Jina lake ni nani, na jina la mwanae ni nani?

"niambie jina lake na jina la mwanae kama unawajua"

Hakika unajua!

"Sidhani kama unamjua mtu anayeweza kufanya mambo hayo"