forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
414 B
Markdown
20 lines
414 B
Markdown
# kumwogopa mtu hufanya mtego
|
|
|
|
"mtu yeyote anayeogopa atakachotendewa na watu ni huwa kama mtego"
|
|
|
|
# mtego
|
|
|
|
kitanzi ambacho hukamata wanyam kwa kamba
|
|
|
|
# yeye ambaye anamtumaini Yahwe atalindwa
|
|
|
|
"Yahwe atamlinda yule ambaye anamtumaini"
|
|
|
|
# wengi ambao huutafuta uso wa mtawala
|
|
|
|
"watu wengi wanataka mtawala wao awajali"
|
|
|
|
# kutoka kwa Yahwe ni haki kwa mtu
|
|
|
|
Ni Yahwe anayetaka kuona kuwa watu wanatendewa kwa haki
|