sw_tn/pro/29/25.md

414 B

kumwogopa mtu hufanya mtego

"mtu yeyote anayeogopa atakachotendewa na watu ni huwa kama mtego"

mtego

kitanzi ambacho hukamata wanyam kwa kamba

yeye ambaye anamtumaini Yahwe atalindwa

"Yahwe atamlinda yule ambaye anamtumaini"

wengi ambao huutafuta uso wa mtawala

"watu wengi wanataka mtawala wao awajali"

kutoka kwa Yahwe ni haki kwa mtu

Ni Yahwe anayetaka kuona kuwa watu wanatendewa kwa haki