sw_tn/pro/29/23.md

12 lines
264 B
Markdown

# mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima
"Yahwe atasababisha watu kumheshimu mwenye roho ya unyenyekevu"
# huyachukia maisha yake mwenyewe
"huwa na uadui kwake mwenyewe"
# husikia laana na hasemi kitu
"hasemi neno hata baada ya watu kutoa laana juu yake"