sw_tn/pro/29/23.md

264 B

mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima

"Yahwe atasababisha watu kumheshimu mwenye roho ya unyenyekevu"

huyachukia maisha yake mwenyewe

"huwa na uadui kwake mwenyewe"

husikia laana na hasemi kitu

"hasemi neno hata baada ya watu kutoa laana juu yake"