sw_tn/pro/29/21.md

337 B

ambaye humdekeza mtumwa wake

"ambaye huruhusu mtumwa wake kuacha kazi na hutendea vema mtumwa wake kuliko watumwa wengine"

mwisho wake

"mtumwa anapokua"

kutakuwa na taabu

mtumwa atakuwa mtu dhaifu

huchochea ugomvi

"husababisha mabishano zaidi kwa watu" Angalia 15:17

bwana wa ghadhabu

"mtu ambaye hupata hasira upesi"