forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
458 B
Markdown
20 lines
458 B
Markdown
# fimbo na maonyo hutoa hekima
|
|
|
|
"kama mzazi atatumia fimbo kwa mtoto wake na kumuonya, mtoto atakuwa na busara"
|
|
|
|
# fimbo
|
|
|
|
Wazazi walitumia viboko katika Israeli kama vifaa vya kuleta nidhamu kwa kuwachapa watoto wao.
|
|
|
|
# maonyo
|
|
|
|
kumwambia mtu kuwa jambo analofanya halifai
|
|
|
|
# makosa huongezeka
|
|
|
|
"watu wengi watafanya makosa na dhambi za zitakuwa mbaya zaidi"
|
|
|
|
# anguko la wale watu waovu
|
|
|
|
"wale watu waovu huanguka" au "wale watu waovu hupoteza utawala wao"
|