sw_tn/pro/29/15.md

458 B

fimbo na maonyo hutoa hekima

"kama mzazi atatumia fimbo kwa mtoto wake na kumuonya, mtoto atakuwa na busara"

fimbo

Wazazi walitumia viboko katika Israeli kama vifaa vya kuleta nidhamu kwa kuwachapa watoto wao.

maonyo

kumwambia mtu kuwa jambo analofanya halifai

makosa huongezeka

"watu wengi watafanya makosa na dhambi za zitakuwa mbaya zaidi"

anguko la wale watu waovu

"wale watu waovu huanguka" au "wale watu waovu hupoteza utawala wao"