sw_tn/pro/29/05.md

286 B

humsifu jirani yake

humwambia jirani yake mambo ya uongo ili afanye makosa

hutandaza mtego katika miguu yake

"hutega mtego kumnasa mtu huyo"

katika dhambi ya mtu mwovu kuna mtego

Hutamani kufanya mabaya kwa watu wengine, lakini Mungu atayatumia matendo yake hayo kumwadhibu.