sw_tn/pro/28/21.md

380 B

kwa kipande cha mkate mtu atafanya ubaya

"mtu atafanya dhambi kwa ajili ya kupata faida kidogo"

fanya ubaya

tenda dhambi

mtu bahili

"mtu mchoyo" Huyu ni mtu ambaye hapendi kutumia mali au pesa yake kwa ushirika na wengine

hufanya haraka kutajirika

mtu bahili huwinda utajiri " ni mroho kwa ajili ya utajiri"

umaskini utakuja juu yake

"ghafula atakuwa maskini"