sw_tn/pro/28/17.md

472 B

aliyemwaga damu ya mtu

"aliyeua mtu"

mkimbizi

mtu anyekimbilia mbali kuogopa kuogopa kukamatwa

hadi kifo

"maisha yake yote"

yeye anayekwenda katika uaminifu atakuwa salama

"Mungu atamweka salama mtu ambaye huenenda katika uaminifu"

yeye

mtu yeyote ambaye

anayekwenda katika uaminifu

"huishi kwa uaminifu"

yeye mwenye njia ya udanganyifu

"mtu ambaye haishi kwa uaminifu"

ataanguka ghafula

"ataharibikiwa ghafula" au "ataangamia ghafula"