forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
577 B
Markdown
36 lines
577 B
Markdown
# huficha dhambi zake
|
|
|
|
"hufunika dhambi zake "
|
|
|
|
# fanikiwa
|
|
|
|
"nufaika" au "endelea"
|
|
|
|
# yeye ambaye huziungama na kuziacha atapata rehema
|
|
|
|
"Mungu ataonesha rehema kwa yule ungama na kuziacha"
|
|
|
|
# yeye ambaye huishi kwa kicho daima amebarikiwa
|
|
|
|
"Mungu atambariki yule ambaye huishi kwa kicho daima"
|
|
|
|
# huishi kwa kicho
|
|
|
|
huishi maisha ya kicho
|
|
|
|
# kicho
|
|
|
|
kumheshimu sana Yahwe na kuonesha kwamba unamtii
|
|
|
|
# mwenye kuufanya mgumu moyo wake
|
|
|
|
"mtu ambaye huufanya mgumu moyo wake"
|
|
|
|
# kuufanya mgumu moyo wake
|
|
|
|
"kukataa kumtii Mungu"
|
|
|
|
# ataangukia katika taabu
|
|
|
|
"ataishia kwenye taabu"
|