forked from WA-Catalog/sw_tn
577 B
577 B
huficha dhambi zake
"hufunika dhambi zake "
fanikiwa
"nufaika" au "endelea"
yeye ambaye huziungama na kuziacha atapata rehema
"Mungu ataonesha rehema kwa yule ungama na kuziacha"
yeye ambaye huishi kwa kicho daima amebarikiwa
"Mungu atambariki yule ambaye huishi kwa kicho daima"
huishi kwa kicho
huishi maisha ya kicho
kicho
kumheshimu sana Yahwe na kuonesha kwamba unamtii
mwenye kuufanya mgumu moyo wake
"mtu ambaye huufanya mgumu moyo wake"
kuufanya mgumu moyo wake
"kukataa kumtii Mungu"
ataangukia katika taabu
"ataishia kwenye taabu"