sw_tn/pro/28/13.md

577 B

huficha dhambi zake

"hufunika dhambi zake "

fanikiwa

"nufaika" au "endelea"

yeye ambaye huziungama na kuziacha atapata rehema

"Mungu ataonesha rehema kwa yule ungama na kuziacha"

yeye ambaye huishi kwa kicho daima amebarikiwa

"Mungu atambariki yule ambaye huishi kwa kicho daima"

huishi kwa kicho

huishi maisha ya kicho

kicho

kumheshimu sana Yahwe na kuonesha kwamba unamtii

mwenye kuufanya mgumu moyo wake

"mtu ambaye huufanya mgumu moyo wake"

kuufanya mgumu moyo wake

"kukataa kumtii Mungu"

ataangukia katika taabu

"ataishia kwenye taabu"