forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
426 B
Markdown
28 lines
426 B
Markdown
# watu waovu
|
|
|
|
"watu watendao mambo mabaya"
|
|
|
|
# hawafahamu haki
|
|
|
|
"hawafahamu maana ya haki"
|
|
|
|
# wale wamtafutao Yahwe
|
|
|
|
wale wanaotaka kumjua Yahwe
|
|
|
|
# hufahamu kila kitu
|
|
|
|
"hufahamu maana ya haki"
|
|
|
|
# bora mtu maskini ...kuliko mtu tajiri
|
|
|
|
"ni bora kuwa maskini ...kuliko kuwa mtu tajiri"
|
|
|
|
# aendaye kaika uaminifu wake
|
|
|
|
"huishi kwa uaminifu"
|
|
|
|
# ambaye ni mdanaganyifu katika njia zake
|
|
|
|
"ambaye si mwaminifu katika yale ayatendayo"
|