sw_tn/pro/28/05.md

426 B

watu waovu

"watu watendao mambo mabaya"

hawafahamu haki

"hawafahamu maana ya haki"

wale wamtafutao Yahwe

wale wanaotaka kumjua Yahwe

hufahamu kila kitu

"hufahamu maana ya haki"

bora mtu maskini ...kuliko mtu tajiri

"ni bora kuwa maskini ...kuliko kuwa mtu tajiri"

aendaye kaika uaminifu wake

"huishi kwa uaminifu"

ambaye ni mdanaganyifu katika njia zake

"ambaye si mwaminifu katika yale ayatendayo"