sw_tn/pro/28/03.md

380 B

dhulumu

"tendea vibaya"

kama mvua inayoshesha ambayo haiachi chakula

mtu maskini wenye kudhulumu watu wengine maskini ni kama mvua ambayo hunyesha kwa nguvu wala haiachi mazao ya kuvuna.

mvua inayonyesha

mvua ya uharibifu

kuiacha sheria

"kuacha sheria ya Mungu"

waishikao sheria

"wale wanaotii sheria ya Mungu"

hupigana dhidi yao

hupingana nao au huwazuia