forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
576 B
Markdown
24 lines
576 B
Markdown
# kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu
|
|
|
|
"kalibu inatumika kusafisha fedha na tanuru hutumika kusafisha dhahabu "
|
|
|
|
# kalibu
|
|
|
|
Ni kontena linalotumika kupasha joto vitu kwa joto kali
|
|
|
|
# tanuru
|
|
|
|
jiko ambalo linaweza kuwa moto sana
|
|
|
|
# mtu hujaribiwa wakati wa kusifiwa
|
|
|
|
"wakati watu wanapomsifu mtu, pia huwa wanampima"
|
|
|
|
# Kama utamtwang mpumbavu ...bado upumbavu wake hautaondoka kwake
|
|
|
|
Maana yake mpumbavu hata kama atateseka na kuumia atabaki mpumbavu.
|
|
|
|
# mchi
|
|
|
|
kifaa kigumu chenye ncha ya duara, hutumika kwa ajili ya kutwanga vitu kwenye kinu au bakuli
|