sw_tn/pro/27/21.md

576 B

kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru kwa ajili ya dhahabu

"kalibu inatumika kusafisha fedha na tanuru hutumika kusafisha dhahabu "

kalibu

Ni kontena linalotumika kupasha joto vitu kwa joto kali

tanuru

jiko ambalo linaweza kuwa moto sana

mtu hujaribiwa wakati wa kusifiwa

"wakati watu wanapomsifu mtu, pia huwa wanampima"

Kama utamtwang mpumbavu ...bado upumbavu wake hautaondoka kwake

Maana yake mpumbavu hata kama atateseka na kuumia atabaki mpumbavu.

mchi

kifaa kigumu chenye ncha ya duara, hutumika kwa ajili ya kutwanga vitu kwenye kinu au bakuli