sw_tn/pro/26/27.md

592 B

achmbaye shimo atatumbukia ndani yake

"Achimbaye shimo kumtega mtu mwingine atatumbukia mwenyewe"

jiwe litaviringika kurudi kwake yeye anayelisukuma

"mtu akisukuma jiwe ili liviringike chini ya kilima na kumgonga mtu, badala yake jiwe litamrudia yeye"

ulimi udanganyao huwachukia watu unaowajeruhi

"mwogo huwachukia wale ambao huwaumiza kwa uongo wake"

Kinywa chenye kusifia huleta uharibigu

mtu ambaye huwasifu wengine huleta taabu au mtu ambaye huwasifu wengine huababisha uharibifu juu yao

kusifia

tukuza mtu kwa namna isiyofa, kumsifu mtu kwa mambo ambayo si ya kweli