forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
592 B
Markdown
20 lines
592 B
Markdown
|
# achmbaye shimo atatumbukia ndani yake
|
||
|
|
||
|
"Achimbaye shimo kumtega mtu mwingine atatumbukia mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# jiwe litaviringika kurudi kwake yeye anayelisukuma
|
||
|
|
||
|
"mtu akisukuma jiwe ili liviringike chini ya kilima na kumgonga mtu, badala yake jiwe litamrudia yeye"
|
||
|
|
||
|
# ulimi udanganyao huwachukia watu unaowajeruhi
|
||
|
|
||
|
"mwogo huwachukia wale ambao huwaumiza kwa uongo wake"
|
||
|
|
||
|
# Kinywa chenye kusifia huleta uharibigu
|
||
|
|
||
|
mtu ambaye huwasifu wengine huleta taabu au mtu ambaye huwasifu wengine huababisha uharibifu juu yao
|
||
|
|
||
|
# kusifia
|
||
|
|
||
|
tukuza mtu kwa namna isiyofa, kumsifu mtu kwa mambo ambayo si ya kweli
|