sw_tn/pro/26/13.md

477 B

Mtu mvivu husema , "kuna simba ....katikati ya njia kuu!"

Mtu mvivu hulala na husema kwamb hawezi kwenda nje na kufanya kazi kwa sababu kuna simba njiani au katikati ya njia kuu.

kuna simba njiani

angalia 22:13

bawaba

vipande vya chuma ambavyo huubana mlango kwenye ubao au kitu kingine ili kuweza kufunguka na kufanga

Kama mlango unavyorudi kwenye bawaba zake, ndivy o alivyo mtu mvivu juu ya kitanda chake

Mlango na mtu mvivu huzunguka lakini hawaendi popote.