forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
477 B
Markdown
16 lines
477 B
Markdown
|
# Mtu mvivu husema , "kuna simba ....katikati ya njia kuu!"
|
||
|
|
||
|
Mtu mvivu hulala na husema kwamb hawezi kwenda nje na kufanya kazi kwa sababu kuna simba njiani au katikati ya njia kuu.
|
||
|
|
||
|
# kuna simba njiani
|
||
|
|
||
|
angalia 22:13
|
||
|
|
||
|
# bawaba
|
||
|
|
||
|
vipande vya chuma ambavyo huubana mlango kwenye ubao au kitu kingine ili kuweza kufunguka na kufanga
|
||
|
|
||
|
# Kama mlango unavyorudi kwenye bawaba zake, ndivy o alivyo mtu mvivu juu ya kitanda chake
|
||
|
|
||
|
Mlango na mtu mvivu huzunguka lakini hawaendi popote.
|