sw_tn/pro/26/09.md

410 B

kama mwiba ...ni methali katika kinywa cha wapumbavu

"mithali katika kinywa cha wapumbavu ni hatari kama mwiba kama unaochoma kwenye mkono wa mlevi"

mwiba ambao unaenda kwenye mkono wa mlevi

kama mtu mlevi anashikilia kichaka chenye miiba, mwiba utamchoma mkononi mwake

katika kinywa cha wapumbavu

"katika kauli ya wapumbavu" au "amba hunena wapumbavu"

amwajiriye mpumbavu

"kumpa kazi mpumbavu"