sw_tn/pro/26/01.md

389 B

Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno

"kama ambavyo ingekuwa ni ajabu kuwa na theluji wakati wa joto na mvua kipindi cha mavuno "

hivyo laana isiyositahili haishuki

laana ambayo haimdhuru mtu imeongelewa kana kwamba ni ndege ambaye hatui."laana isiyositahili haitui mahali pake"

laana isiyositahili

"laana kwa mtu ambaye haimstahili"

shuka

tuajuu ya mtu au kitu