sw_tn/pro/24/24.md

471 B

Yeyote asemaye kwa mtu mwovu ...atalaaniwa na watu na kuchukiwa na mataifa

"watu watamlaani yeyote anayemwambia mtu mwovu ...,na watu wa mataifa mengine watamchukia"

mtu mwovu ...mtu mwenye haki

1)watu hawatamwita mtu yeyote mwovu kuwa ni mwenye haki au 2) hakuna mtu atakayesema mtu mwenye hatia ya kosa ni mwenye haki

watapata furaha

"watafurahi sana"

zawadi za wema zitawajia

"watu watawapa zawadi nzuri"

zawadi za wema

"baraka" au "vitu vizuri"