forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
471 B
Markdown
20 lines
471 B
Markdown
|
# Yeyote asemaye kwa mtu mwovu ...atalaaniwa na watu na kuchukiwa na mataifa
|
||
|
|
||
|
"watu watamlaani yeyote anayemwambia mtu mwovu ...,na watu wa mataifa mengine watamchukia"
|
||
|
|
||
|
# mtu mwovu ...mtu mwenye haki
|
||
|
|
||
|
1)watu hawatamwita mtu yeyote mwovu kuwa ni mwenye haki au 2) hakuna mtu atakayesema mtu mwenye hatia ya kosa ni mwenye haki
|
||
|
|
||
|
# watapata furaha
|
||
|
|
||
|
"watafurahi sana"
|
||
|
|
||
|
# zawadi za wema zitawajia
|
||
|
|
||
|
"watu watawapa zawadi nzuri"
|
||
|
|
||
|
# zawadi za wema
|
||
|
|
||
|
"baraka" au "vitu vizuri"
|