sw_tn/pro/24/21.md

325 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

Hofu

heshima ya kina na utiisho kwa ajili ya mtu mwenye mamlaka

ni nani ajuaye ukubwa wa uharibifu ambao utakuja kwao wote?

"hapana ajuaye ukubwa wa uharibifu ambao utakuja kwao wote?

kwao wote

Maneno haya yanamwakilisha Yahwe na mfalme