sw_tn/pro/24/15.md

369 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

usivizie

"kujificha na kusubiri muda utimie"

nyumba yake

nyumba ya mtu mwenye haki

huinuka

"kusimama tena"

watu waovu huangushwa kwa maafa

"Mungu atatumia maafa kuwaangusha watu waovu"

huangushwa

kuangushwa

maafa

wakati ambapo mambo mabaya hutokea kwa watu na mali zao