sw_tn/pro/24/11.md

951 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

wale ambao wanachukuliwa

"wanao wachukua"

wanachukuliwa

"kokotwa kupelekwa mbali"

pepesuka

kutemea upande na karibia na kuanguka. Neno hili linaeleza jinsi mtu anavyotembea anavyokokotwa kupelekwa sehemu.

mchinjaji

"sehemu ambayo watu watauwawa, watawaua kama vile wanavyoua wanyama"

kama unasema,"Tazama...hili",

Mwandishi anajibu jambo ambalo msomaji anaweza kufikiria.

Tazama, sisi

"Tusikilizeni sisi ! hatujafanya chochote kibaya , kwa sababu sisi"

je yeye aupimaye moyo hafahamu usemayo?

"yeye aupimaye moyoanafamu ambacho unasema"

yeye ambaye

" ni Yahwe" au "Yahwe ambaye"

aupimaye moyo

"anajua namna watu wanavyofikiri vyema na hamu zao"

yeye mwenye kuongoza maisha yako, je yeye hajui?

"yeye ambaye huyaongoza maisha yako anayajua"

Je Mungu hatampa kila mmoja kile anachostahili?

"Mungu atampa kila mtu kile anachostahili"