sw_tn/pro/24/05.md

408 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

shujaa wa hekima

"shujaa mwenye busara"

mtu mwenye maarifa huongeza nguvu zake

"mtu anayejua mambo mengi ni imara kwa sababu anavijua vitu hivi"

kwa uongozi wa busara

"kama unawatu wenye busara wakikuelekeza jambo la kufanya"

kupigana

"pambana"

washauri

wale ambao huwaambia maafisa wa serikali mambo ya kufanya