forked from WA-Catalog/sw_tn
408 B
408 B
Maelezo ya Jumla
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
shujaa wa hekima
"shujaa mwenye busara"
mtu mwenye maarifa huongeza nguvu zake
"mtu anayejua mambo mengi ni imara kwa sababu anavijua vitu hivi"
kwa uongozi wa busara
"kama unawatu wenye busara wakikuelekeza jambo la kufanya"
kupigana
"pambana"
washauri
wale ambao huwaambia maafisa wa serikali mambo ya kufanya