forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
408 B
Markdown
24 lines
408 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# shujaa wa hekima
|
||
|
|
||
|
"shujaa mwenye busara"
|
||
|
|
||
|
# mtu mwenye maarifa huongeza nguvu zake
|
||
|
|
||
|
"mtu anayejua mambo mengi ni imara kwa sababu anavijua vitu hivi"
|
||
|
|
||
|
# kwa uongozi wa busara
|
||
|
|
||
|
"kama unawatu wenye busara wakikuelekeza jambo la kufanya"
|
||
|
|
||
|
# kupigana
|
||
|
|
||
|
"pambana"
|
||
|
|
||
|
# washauri
|
||
|
|
||
|
wale ambao huwaambia maafisa wa serikali mambo ya kufanya
|