sw_tn/pro/23/24.md

312 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

baba wa mtu mwenye haki atafurahi sana, na mwenye kumzaa mtoto mwenye busara atamfurahia

"baba wa mtu mwenye haki, mzazi wa mtoto mwenye busara, atashangilia sana na atamfurahia"

atamfurahia

"atafurahia kwa ajili ya mtoto wake"