forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
312 B
Markdown
12 lines
312 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# baba wa mtu mwenye haki atafurahi sana, na mwenye kumzaa mtoto mwenye busara atamfurahia
|
||
|
|
||
|
"baba wa mtu mwenye haki, mzazi wa mtoto mwenye busara, atashangilia sana na atamfurahia"
|
||
|
|
||
|
# atamfurahia
|
||
|
|
||
|
"atafurahia kwa ajili ya mtoto wake"
|