forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
360 B
Markdown
12 lines
360 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# usimdharau
|
|
|
|
"onesha adabu kwa"
|
|
|
|
# Inunue kweli, wala usiiuze; nunua hekima, mafundisho, na ufahamu
|
|
|
|
" Fanya namna yoyote ili uweze kufahamu kweli, uwe na busara, uweze kujifunza namna ya kutenda, ili ufahamu jema na baya; wala usifikirie kitu kingine kuwa ni muhimu zaidi ya haya"
|