sw_tn/pro/23/22.md

360 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

usimdharau

"onesha adabu kwa"

Inunue kweli, wala usiiuze; nunua hekima, mafundisho, na ufahamu

" Fanya namna yoyote ili uweze kufahamu kweli, uwe na busara, uweze kujifunza namna ya kutenda, ili ufahamu jema na baya; wala usifikirie kitu kingine kuwa ni muhimu zaidi ya haya"