forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
525 B
Markdown
24 lines
525 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# usimnyime mtoto mafundisho
|
|
|
|
"usipuuze kumfundisha mtoto" au "usikatae kumfundisha mtoto"
|
|
|
|
# usimnyime
|
|
|
|
kataa kutoa kitu ambacho unajua mtu mwingine anakihitajia
|
|
|
|
# fimbo
|
|
|
|
"kipande cha mti"
|
|
|
|
# ni wewe unayepaswa kumchapa ... na kuokoa nafsi yake
|
|
|
|
"wewe ndiye unayepaswa kumchapa...na kuokoa nafsi yake." hakuna mtu mwingine wa kufanya hivyo.
|
|
|
|
# na kuokoa nafsi yake kutoka kuzimu
|
|
|
|
"na utamlinda na ulimwengu wa wafu" au " utamlinda dhidi ya kifo"
|