forked from WA-Catalog/sw_tn
525 B
525 B
Maelezo ya Jumla
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
usimnyime mtoto mafundisho
"usipuuze kumfundisha mtoto" au "usikatae kumfundisha mtoto"
usimnyime
kataa kutoa kitu ambacho unajua mtu mwingine anakihitajia
fimbo
"kipande cha mti"
ni wewe unayepaswa kumchapa ... na kuokoa nafsi yake
"wewe ndiye unayepaswa kumchapa...na kuokoa nafsi yake." hakuna mtu mwingine wa kufanya hivyo.
na kuokoa nafsi yake kutoka kuzimu
"na utamlinda na ulimwengu wa wafu" au " utamlinda dhidi ya kifo"