sw_tn/pro/23/13.md

525 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

usimnyime mtoto mafundisho

"usipuuze kumfundisha mtoto" au "usikatae kumfundisha mtoto"

usimnyime

kataa kutoa kitu ambacho unajua mtu mwingine anakihitajia

fimbo

"kipande cha mti"

ni wewe unayepaswa kumchapa ... na kuokoa nafsi yake

"wewe ndiye unayepaswa kumchapa...na kuokoa nafsi yake." hakuna mtu mwingine wa kufanya hivyo.

na kuokoa nafsi yake kutoka kuzimu

"na utamlinda na ulimwengu wa wafu" au " utamlinda dhidi ya kifo"