forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
562 B
Markdown
28 lines
562 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# mwenye jicho ovu
|
|
|
|
1) asiyependa kutoa vitu kwa watu wengine au 2) mtu mwovu
|
|
|
|
# usitamani
|
|
|
|
"usishikwe na hamu sana kupitiliza" angalia 21:9
|
|
|
|
# vyakula vizuri
|
|
|
|
"chakula maalumu na vya gharama" angalia 23:1
|
|
|
|
# moyo wake haupo pamoja nawe
|
|
|
|
Hii ni nahau " Kwa uhalisia hataki ufurahie huo mlo"
|
|
|
|
# utatapiki kile chakula kidogo ulichokula
|
|
|
|
"utatamani kwamba usingekula kitu chochote"
|
|
|
|
# utakuwa umeharibu sifa zako
|
|
|
|
"hataweza kufurahi hata kama utasema maneno mazuri juu yake na chakula"
|